Dk Mwinyi ataja vikwazo vitatu ukuaji wa uchumi Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametaja mambo makuu matatu yanayokwamisha uchumi wa Zanzibar kukua kwa kasi na jinsi wanavyoyatafutia ufumbuzi yote kwa mpigo. Mambo hayo ni ufinyu wa bandari, uhaba wa umeme na hifadhi ndogo ya mafuta. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumapili Machi 22, 2026 wakati akihutubia wananchi baada ya kuweka…

Read More

Chelsea Yapokea Kipigo Kingine cha Aibu Dhidi ya Everton

Global Publishers March 21, 2026 0 Comments Mshambuliaji Beto ameibuka shujaa wa Everton FC baada ya kufunga mabao mawili muhimu yaliyoisaidia timu yake kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea FC katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Hill Dickinson. Everton walionyesha ubora wao tangu dakika za mwanzo za mchezo huo, huku Beto…

Read More

Mabingwa Watetezi Pyramids Waaga CAFCL Kwa Maumivu

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Mabingwa watetezi wa CAF Champions League, Pyramids FC, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kutolewa na AS FAR Rabat kwa jumla ya mabao 3-2 katika hatua ya robo fainali. Baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza, Pyramids walishuka dimbani wakiwa na matumaini ya kusonga…

Read More