WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MIRADI YA KIMKAKATI ARUSHA
Na Pamela Mollel, Arusha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, ameonyesha kuridhishwa na mwenendo wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayoendelea katika Jiji la Arusha, akisema kasi iliyopo inaleta matumaini mapya kwa wananchi. Katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa stendi kuu ya mabasi katika eneo la Bondeni City,Waziri…