Profesa Kitila anadi uwekezaji wa kimkakati China
Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ameitangaza Tanzania nchini China kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati, akisema nchi hiyo imejipanga kuwa lango la biashara, uzalishaji na usafirishaji kwa soko la kikanda na bara la Afrika. Akihutubia jukwaa la kibiashara kati ya jimbo la Shandong (Weihai) na…