TALGWU yatangaza safari ya kupata viongozi wapya

Dar es Salaam. Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU), kinatarajiwa kufanya uchaguzi wa kupata viongozi wapya kuanzia ngazi ya matawi hadi Taifa Aprili na kukamilika Septemba 2026. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa leo Jumatano Machi 18,2026 na Kaimu Katibu Mkuu wa TALGWU, Wandiba Ngocho, katika uchaguzi huo kutakuwa na uchaguzi mkuu wa…

Read More

DKT. KIMAMBO AWAHIMIZA WATUMISHI WANAWAKE MUHIMBILI KUJITOA KWA DHATI KUBORESHA HUDUMA KWA WANANCHI

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo****** Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo, amewataka watumishi wanawake wa hospitali hiyo kujitoa kwa hali na mali katika utoaji wa huduma kwa wananchi wanaofika kupiga matibabu. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika leo Machi 18,…

Read More

TCB YAZINDUA KAMPENI YA KUCHOCHEA UCHUMI NA KUWEZESHA NDOTO ZA WATANZANIA

 ******* Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni maalum yenye lengo la kuimarisha ujumuishwaji wa kifedha na kuchochea ukuaji wa uchumi kwa kuwawezesha Watanzania kupata suluhisho sahihi za kifedha.  Hatua hiyo inalenga kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa makundi mbalimbali, hususan wajasiriamali na biashara ndogo na za kati, ili kuchangia ukuaji wa kipato na…

Read More

Maridhiano yatajwa kichaka kukwamisha Katiba Mpya

Dar es Salaam. Wadau hao wamesisitiza kuwa mchakato wa Katiba Mpya ni wa kisheria unaohitaji kuanza kwa kuwasilisha muswada wa sharia bungeni, hivyo haupaswi kuhusishwa moja kwa moja na matukio ya hivi karibuni, ikiwemo uchunguzi wa vurugu hizo. Hata hivyo, wengine wameeleza kuwa hatua zinazopendekezwa zinafanana na kuchomeka mambo ambayo hayahitajiki, hivyo kuweo uwezekano wa…

Read More

Muelekeo mpya ukusanyaji wa mapato

Dar es Salaam. Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi imependekeza mabadiliko katika sekta ya kodi, ikiwamo kubadili jina la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuitwa Huduma za Mapato Tanzania (TRS). Tume hiyo iliyoongozwa na mwenyekiti wake, Balozi Ombeni Sefue, ilianzishwa Julai 31, 2024 na kuanza kazi Oktoba 4, 2024 imekuja…

Read More

Ajira 1,300 za kada ya afya zanukia Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza mpango wa kutoa ajira 1,300 kwa wataalamu wa sekta ya afya, katika jitihada za kukabiliana na upungufu wa watumishi na kupunguza msongamano katika hospitali za rufaa. Hatua hiyo inatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa, huku wataalamu hao wakipangiwa kufanya kazi zaidi katika zahanati na vituo vya afya, ambako…

Read More

Halmashauri za Mtwara zapewa neno upandaji miti

Mtwara. Halmashauri tisa za Mkoa wa Mtwara zimetakiwa kuongeza kasi ya upandaji miti ili kufikia malengo ya Serikali ya kupanda zaidi ya miti milioni 1.5 kwa kila halmashauri, kufuatia utekelezaji usioridhisha ulioonekana mwaka 2025. Wito huo umetolewa baada ya mkoa huo kupanda miti milioni tano pekee mwaka jana, idadi inayotajwa kuwa ndogo kulinganisha na malengo…

Read More