TFS, Land Africa Safaris kushirikiana kukuza utalii kupitia mbio za Cape to Cairo Arusha
Na Mwandishi Wetu, Arusha Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeingia katika mpango wa ushirikiano na kampuni ya Land Africa Safaris ili kukuza utalii wa ikolojia kupitia tukio la Cape to Cairo Arusha International Marathon linalotarajiwa kufanyika Mei 28 hadi 30, 2026 mkoani Arusha. Makubaliano hayo yamefikiwa katika kikao kilichofanyika Machi 17, 2026 katika…