KONGAMANO LA MISA TAN SUMIT 2026 LAFANA MKOANI IRINGA
đ Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James akaribisha kuwekeza Iringa đNSSF yatoa elimu kwa wadau, wataka wajiunge wafaidike na Mafao Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James amefungua Kongamano la MISA TAN WADAU SUMMIT 2026 ambao umewakutanisha waandishi wa habari, wahariri na wadau wa habari ambapo amesema serikali ya Mkoa wa Iringa itaendelea kushirikiana…