Zoya: Binti wa miaka 14 anayepigania wasichana kubaki shuleni

Dar es Salaam. Methali isemayo “penye nia pana njia” inaakisi vyema safari ya Zoya-Fatimah Dewji (Zoya), msichana mwenye umri wa miaka 14 ambaye ameanza kuchukua hatua madhubuti kukabiliana na hedhi – moja ya changamoto zinazowazuia wasichana wengi nchini Tanzania kuhudhuria masomo kikamilifu. Licha ya kuwa bado ni mwanafunzi, Zoya ameanzisha kampeni iitwayo “Stay in School”…

Read More

Fahamu Nchi 20 Zenye Jeshi Lenye Nguvu Zaidi Duniani 2026

Nguvu ya kijeshi kisasa haipimwi tu kwa kuhesabu askari. Inahusisha idadi ya wanajeshi, bajeti za ulinzi, teknolojia ya kisasa, uwezo wa kimkakati, na ushirikiano wa kijeshi. Mnamo mwaka 2026, majeshi yenye nguvu zaidi duniani yanaimarisha ushawishi wao wa kimataifa kupitia anga, baharini, mitandao ya kielektroniki, na ulinzi wa anga ya juu. Kulingana na Global Firepower…

Read More

MWENYEKITI WA KAMATI YA BUNGE AITAKA MUHAS KUONGEZA KASI YA KUITANGAZA KAMPASI YA MLOGANZIL

******* Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mhe. Husna Sekiboko, amekitaka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), kwa kushirikiana na Wizara, kuongeza kasi ya kuitangaza Kampasi ya Mloganzila kutokana na uwekezaji mkubwa unaoendelea. Mhe. Sekiboko ametoa rai hiyo Machi 17, 2026 jijini Dar es Salaam wakati…

Read More

TUMEONDOA VAT KATIKA UAGIZAJI WA MITUNGI YA GESI ILI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA WANANCHI- NDEJEMBI

******** Waziri wa Nishati,  Deogratius Ndejembi amesema kuwa Serikali imeondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye uagizaji wa mitungi ya gesi (LPG), mitungi mikubwa ya gesi (LPG bulk facility) pamoja na carbonizers za kutengeneza mkaa mbadala ikiwa ni sehemu ya jitihada zinazofanywa na Serikali kupunguza bei na kurahisisha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU CCM ZANZİBAR AHIMIZA VIONGOZI,WANACHAMA KUDUMISHA AMANI

Na Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohammed Said Mohammed (DIMWA), amewahimiza viongozi na wanachama wa Chama hicho kuendelea kudumisha amani na utulivu nchini, sambamba na kushiriki kikamilifu katika kukijenga na kukiimarisha chama. Ametoa mwito huo alipokuwa akizungumza katika hafla ya futari ya pamoja aliyoiandaa katika Ofisi Kuu ya…

Read More