Shughuli ya kuwatafuta watu watatu waliozama majini yaendelea
Tanga. Utafutaji wa watu watatu waliopotea kufuatia kuzama kwa jahazi katika Bahari ya Hindi, eneo la Nungwi kisiwani Unguja, bado unaendelea huku matumaini ya kuwapata yakiwa yameanza kupungua. Jahazi hilo lililosajiliwa kwa ajili ya kubeba mizigo, lilikuwa limebeba watu 12 kinyume na taratibu wakati lilipopata ajali Machi 14, 2026. Miili ya watu wawili ilipatikana jana,…