Iran yaishambulia UAE, vita yazidi kupamba moto

Mashambulizi mapya yamezuka katika vita vinavyoendelea Mashariki ya Kati baada ya Iran kushambulia Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) leo Jumanne, hatua inayotafsiriwa kama kulipiza kisasi dhidi ya Marekani na washirika wake. Mashambulizi hayo yanakuja wakati vita kati ya Iran na muungano wa Marekani na Israel ikiingia wiki ya tatu, huku zaidi ya watu 2,000…

Read More

MKURUGENZI TTB: NCHI IMEENDELEA KUWA MFANO AFRIKA KATIKA KUUNGANISHA JUHUDI ZA UHIFADHI,MAENDELEO YA UTALII

Na Mwandishi Wetu UZOEFU wa Tanzania katika kuunganisha uhifadhi wa maliasili na maendeleo ya sekta ya utalii umevutia wataalamu kutoka nchini Zambia, waliowasili nchini kwa ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu. Ujumbe huo umetembelea Tanzania Machi 16,2026 kwa lengo la kujifunza namna nchi inavyotekeleza mikakati ya uhifadhi wa rasilimali za asili sambamba na kutangaza vivutio…

Read More

Athari ya kiu ya ufaulu kwa wanafunzi  na Taifa

Shinyanga. Katika jamii nyingi leo, ufaulu umegeuka kuwa lengo kuu la elimu. Kila mzazi, mwalimu na mwanafunzi anatamani kuona alama za juu, vyeti vingi na matokeo yanayovutia.  Hata hivyo, katika harakati hizo, mambo muhimu kama maadili, utu na ujuzi wa vitendo yameachwa nyuma au kupewa nafasi finyu. Takwimu na hali halisi ya kijamii vinaonyesha kuwa…

Read More

Papa Leo kufanya ziara nchi nne za Afrika

Dar es Salaam. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Pope Leo, anatarajiwa kuanza ziara rasmi katika mataifa manne ya Afrika kuanzia Aprili 13 hadi 23, 2026, ikiwa ni safari yake ya tatu ya kitume nje ya Italia tangu aanze uongozi wake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Holy See Press Office, Papa Leo atatembelea mataifa ya…

Read More

Ofisa ustawi wa jamii aliyegeukia uuzaji juisi

Dar es Salaam. Gharama za maisha zinapoongezeka, mara nyingi kila mtu huangalia namna ya kukabiliana nazo, ikiwamo kutafuta kipato cha ziada ili kupata uhuru wa kuishi. Hali hiyo huwafanya wengi kufikiria nje ya boksi na kuangalia kitu gani kinachoweza kufanyika kwa urahisi bila kuathiri shughuli zao za kila siku, na hapo ndipo kila mtu huja…

Read More

Donald Trump Akosolewa na Mshauri wake Kuhusu Vita na Iran

Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Mmoja wa washauri wa karibu wa Rais wa Marekani, David Sacks, amemkosoa hadharani Donald Trump kuhusu vita vinavyoendelea dhidi ya Iran, akionya kuwa mzozo huo unaweza kuongezeka na kusababisha hatari ya matumizi ya silaha za nyuklia. Sacks, ambaye ni mshauri wa Trump anayeshughulikia masuala ya akili bandia (AI)…

Read More