SGR kuanza kutoa mizigo bandarini

Dar es Salaam. Serikali imesema kuanzia mwisho wa mwezi huu, itaanza kutumia Treni ya Kisasa (SGR) kusafirisha mizigo moja kwa moja kutoka bandarini, badala ya kutumia bandari ya Pugu kama ilivyokuwa awali. Hayo yameelezwa baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kudai kuwa uondoshaji wa mizigo bandarini ni sababu inayofanya ufanisi wa bandari…

Read More

Wanne wafariki Monduli kwa mafuriko

Arusha. Watu wanne wamefariki dunia wilayani Monduli mkoani Arusha kufuatia mvua kubwa zilizosababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo. Mafuriko hayo pia yamesababisha uharibifu wa miundombinu na mali za wanafunzi katika Shule ya Msingi Engaruka Juu, hali iliyosababisha shule hiyo kufungwa kwa muda. Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Machi 15, 2026, Mkuu wa Wilaya ya Monduli,…

Read More

Askofu Massawe aonya upofu wa roho

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Massawe amesema upofu wa roho umewafanya binadamu kujiona wapo juu ya Mungu hivyo kutojali haki za watu wengine. Amesema mwanadamu hupofushwa na tamaa za mwili, mali na madaraka, hivyo kunahitajika mwanga wa kumsaidia kuona kwa usahihi na kutenda yaliyo sahihi. Askofu huyo alitoa kauli…

Read More

ACHPR yataka wote waliomteka Mshabaha nchini Kenya wawajibishwe

Dar es Salaam. Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHRO), imepongeza kukamatwa kwa washukiwa watatu wanaodaiwa kuhusika katika jaribio la kumteka nyara mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Mshabaha lililotokea nchini Kenya. Washukiwa hao ni raia wawili wa Kenya na Mtanzania mmoja ambao tayari wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayohusiana na tukio hilo. Tume hiyo…

Read More

Wacongo kumpa muhula mwingine Denis Sassou Nguesso?    

Dar es Salaam. Wananchi wa Jamhuri ya Kongo (Congo Brazzaville), wamepiga kura leo Jumapili Machi 15, 2026 kumchagua Rais wao mpya katika uchaguzi ambao wachambuzi wengi wanaona unaweza kumrejesha tena madarakani kiongozi mkongwe, Denis Sassou Nguesso. Takribani wapiga kura milioni 3.2 walijiandikisha kushiriki katika uchaguzi huo, lakini mchakato umeingia katika mjadala mkali baada ya vyama…

Read More

Mvua kubwa zazua hofu ya mafuriko nchini

Dar es Salaam. Mvua kubwa zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini zimeongeza hatari ya mafuriko, uharibifu wa miundombinu na changamoto za kiafya, huku wataalamu wakionya kuwa mabadiliko ya tabianchi na ukuaji wa kasi wa miji vinafanya matukio hayo kuwa ya mara kwa mara. Mvua hizo zilizoanza mwishoni mwa mwezi uliopita ni sehemu ya mwanzo wa msimu…

Read More

Wacongo kumpa muhula wa Denis Sassou Nguesso?    

Dar es Salaam. Wananchi wa Jamhuri ya Kongo (Congo Brazzaville), wamepiga kura leo Jumapili Machi 15, 2026 kumchagua Rais wao mpya katika uchaguzi ambao wachambuzi wengi wanaona unaweza kumrejesha tena madarakani kiongozi mkongwe, Denis Sassou Nguesso. Takribani wapiga kura milioni 3.2 walijiandikisha kushiriki katika uchaguzi huo, lakini mchakato umeingia katika mjadala mkali baada ya vyama…

Read More