Maafisa wa Mrekani na Ukraine wameanza mazungumzo nchini Saudi Arabia
Maafisa wa Marekani na Ukraine wameanza mazungumzo leo Jumanne nchini Saudi Arabia huku upande wa Ukraine ukitarajiwa kuwasilisha sehemu ya mpango wa kusitisha mapigano na Russia. Mpango wa Ukraine unajumuisha kusitisha mafanikio ya makombora ya masafa marefu na sitisho la linalohusisha Black Sea. Hata Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy hakushiriki katika mikutano ya Jumanne, huku…