Sauti zilizotikisa Taifa na vipindi vilivyokonga nyoyo RTD
Awali ya yote, “Mzee wa Atikali” napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu Raheem kwa kuniruzuku uhai Jumamosi kuntu ya leo. Kuamkia alfajiri ya leo, mvua kubwa imelinyea jiji la Bandari Salama ikiambatana na mirindimo mikali ya radi ambapo mara ya mwisho mirindimo mikali namna hii kusikika, Morogoro Road na Ali Hassan Mwinyi Road zilikuwa ni barabara za…