Paskazia alivyopambania elimu ya mwanaye mwenye ulemavu

Tanga. Katika kijiji kidogo cha Mjesani wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga kuna simulizi inayogusa moyo na kutoa somo kubwa kuhusu nguvu ya upendo wa mama. Ni hadithi ya mwanamke aliyepambana na changamoto za maisha, umaskini na maumivu ya kutelekezwa, lakini hakukata tamaa katika ndoto yake ya kuona mwanaye mwenye ulemavu akipata elimu bora. Huyu ni Paskazia…

Read More

Wadau wataka bajeti zaidi kukabili uhaba wa maabara nchini-3

Rombo/Lushoto. Kuongeza uwekezaji katika elimu na kutengeneza maabara zinazotembea, zimetajwa kuwa miongoni mwa suluhisho linaloweza kumaliza uhaba wa maabara za sayansi katika shule za sekondari za nchini. Hayo yanatakiwa kwenda sambamba na ushirikishwaji wa jamii na wadau kwa ujumla, kwani ili kumaliza uhaba huo zinahitajika jitihada za pamoja. Haya yanaelezwa wakati ambapo Tanzania inahitaji asilimia…

Read More