Diarra njia nyeupe, apewa mmoja mpya kikosini
INAWEZEKANA unafuatilia matokeo tu ya Simba, Yanga na Azam FC namna zinavyokimbizana msimu huu, lakini kuna vita nyingine ngumu ipo kwenye mabao yao kwani makipa wa timu hizo wanatoana jasho kwa ubora mkubwa huku Djigui Diarra akionekana hana mpinzani wa karibu kwa sasa. Diarra mmoja kati ya makipa bora kuwahi kutokea kwenye ligi yetu, msimu…