Rostam aahidi uhuru wa uhariri NMG

Dar/Nairobi. Mfanyabiashara Rostam Azizi amesema uwekezaji wake katika kampuni ya Nation Media Group (NMG) hautaathiri weledi wa uandishi wa habari uliojengwa na vyombo vya habari nya kampuni hiyo kwa muda mrefu. Amesema uwekezaji wake utaendelea kuheshimu misingi ya uhariri, viwango vya taaluma ya uandishi wa habari na imani ya umma, ambayo imeijengea heshima kampuni ya…

Read More

Ibenge ataka wawili Azam | Mwanaspoti

AZAM leo itakuwa ugenini kupambana na Dodoma Jiji kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini mezani kwa viongozi wa klabu hiyo kuna mahitaji mawili ya mastaa wapya yaliyoletwa na kocha wa timu hiyo, Florent Ibenge. Iko hivi; Ibenge bado hafurahii sana ufanisi wa eneo la kushambulia na amewaambia mabosi wake waanze mchakato taratibu kwa kumtafutia…

Read More

Mambo 7 yamkalia pabaya Pedro Yanga

YANGA inaendelea kugawa dozi kwenye mechi zake ikitoka kupata mshtuko wa kudondosha pointi mbili baada ya kulazimishwa sare dhidi ya Simba, mchezo ambao uliibua hoja mbalimbali juu ya kiwango cha kikosi hicho. Huo ulikuwa mchezo wa kwanza wa dabi timu hiyo ikiwa chini…

Read More

Rostam ainunua Nation Media Group

Dar es Salaam/Nairobi. Mfanyabiashara wa Afrika Mashariki, Rostam Azizi, kupitia kampuni yake ya Taarifa Ltd amenunua hisa zote zilizokuwa zikimilikiwa na Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) katika kampuni ya NPRT Holdings Africa Limited, hatua inayomfanya kuwa mbia mkuu wa Nation Media Group (NMG). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 10, 2026, inaeleza…

Read More

WANAWAKE WA UWT KIBAHA MJI WAANZA KUTEMA CHECHE BAADA YA USHINDI WA KISHINDO KATIKA UCHAGUZI MKUU

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Jumuiya ya umoja wa wanawake (UWT)  Wilaya  ya  Kibaha mjini katika kukiimarisha chama imeamua kufanya ziara maalumu yenye lengo la kuwashukuru  na kuwapongeza  wanawake kwa umoja wao na mshikamao waliouonyesha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupelekea chama cha mapinduzi (CCM)  kuweza  kushinda kwa kishindo katika nafasi za Udiwani, Ubunge pamoja…

Read More