Uhamiaji yaanza kuuwinda ubingwa ZPL
WAKATI Ligi Kuu ya Zanzibar ikisimama kwa ajili ya kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku ikitarajiwa kuendelea Machi 28, 2026, Kocha Mkuu wa Uhamiaji, Abdul Saleh amesema timu hiyo itaanza mazoezi hivi karibuni. Alisema timu hiyo inajinoa kwa ajili ya kujiandaa na mechi 10 za mzunguko wa mwisho wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL)…