Bonasi yaibua ushindani BDL | Mwanaspoti

NAHODHA wa Stein Warriors, Mwalimu Herry amekiri kuna mabadiliko makubwa katika mchezo huo, yakichangiwa na udhamini pamoja na bonasi zinazotolewa kwa wachezaji. Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam imekuwa ikipiga hatua kila msimu kutokana na kuwepo kwa wadhamini tofauti na miaka ya nyuma na hii imeongeza ushindani kwa wachezaji wakiwania pia kupata bonasi….

Read More

Rekodi mbili za Laizer Fountain Gate

USHINDI wa bao 1-0, ilioupata Fountain Gate dhidi ya Mbeya City katika mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa Machi 3, 2026,  kwenye Uwanja wa Sokoine jijini, Mbeya, umemfanya kocha wa timu hiyo, Mohamed Ismail ‘Laizer’ kuandika rekodi mbili mpya, baada ya mwenendo usioridhisha wa matokeo. Rekodi ya kwanza ambayo Laizer ameiweka sambamba na timu hiyo,…

Read More

Sikia hii ya Mwangosi Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Baraka Mwangosi ametajwa kama mchezaji atakayefanya makubwa baadaye, huku akitakiwa hivi sasa kujifunza vitu vingi kiufundi na ushindani vitakavyomjengea kujiamini na kutegemewa katika timu hiyo na Taifa Stars. Miongoni mwa walioliona hilo ni staa wa zamani wa Simba, Emmanuel Gabriel aliyesema Mwangosi anatakiwa kupewa muda kupata uzoefu, kujifunza vitu vingi katika timu,…

Read More

Willium Edgar atamani kuifunika rekodi yake ya msimu uliopita

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William amesema licha ya kiwango kizuri anachoendelea kukionyesha kwa sasa akiwa na kikosi hicho cha ‘Walima Zabibu’, lakini malengo yake makubwa ni kufunga mabao mengi zaidi ya aliyoyafunga msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, Edgar aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu akitokea Fountain Gate, alisema mwenendo wake mzuri unampa motisha ya…

Read More

Aucho mambo safi Singida BS, rasmi arejea kazini

UONGOZI wa Singida Black Stars, umetangaza kumsamehe kiungo wa timu hiyo, Khalid Aucho na kumrejesha kazini kuanzia leo Machi 5, 2026 baada ya kufanyika kwa majadiliano na tathmini ya kina kufuatia tukio lililotokea wakati wa mazoezi ya timu. Februari 27, 2026, uongozi wa Singida Black Stars ulitangaza kumsimamisha Aucho kwa miezi mitatu kwa tuhuma za…

Read More

Mikakati mipya ya Baresi KMC

KOCHA wa KMC, Abdallah Mohamed ‘Baresi’, amesema mechi tano zijazo za Ligi Kuu Bara kwa kikosi hicho zitakuwa za uamuzi mgumu wa kuamua hatima yao, japo jambo nzuri kwao kama benchi la ufundi ni kuona ratiba hiyo itaanza kuanzia mwezi ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Baresi alisema kutokuwa na mechi yoyote kwa mwezi huu ni jambo…

Read More