Ubabe wa Yanga siku 476 Ligi Kuu ya NBC
LEO jioni kikosi cha Yanga kitashuka kwenye uwanja wa nyumbani wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam kuvaana na JKT Tanzania, huku kikitimiza siku 476 katika Ligi Kuu Bara ikicheza mechi 29 bila kupoteza (unbeaten). Mara ya mwisho kwa Yanga kuonja…