Ligi Kuu Zanzibar kupigwa Bara
BODI ya Ligi Zanzibar (ZBL), inatarajia kufanya marekebisho ya kanuni za mashindano ili kuruhusu timu za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kutumia viwanja vya Bara kwa ajili ya mechi. Hatua hiyo inalenga kuongeza ushindani wa ligi hiyo na kutoa fursa kwa wachezaji wa Zanzibar kuonekana zaidi na kutambulika kwenye soka la Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, Mtendaji…