Huu hapa mfupa wa Pedro Yanga
YANGA ina mechi ya nne mfululizo ugenini leo ikiwa mgeni wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini, Dodoma, ikiuanza mzunguko wa pili, lakini kuna tahadhari itatakiwa kuichukua kama inautaka ubingwa ikikaribia kuvunja rekodi yake ya msimu uliopita. Yanga leo itakuwa inaanza mzunguko wa pili ambapo takwimu zinaonyesha timu hiyo imeshaangusha pointi nane ndani ya…