Huu hapa mfupa wa Pedro Yanga

YANGA ina mechi ya nne mfululizo ugenini leo ikiwa mgeni wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini, Dodoma, ikiuanza mzunguko wa pili, lakini kuna tahadhari itatakiwa kuichukua kama inautaka ubingwa ikikaribia kuvunja rekodi yake ya msimu uliopita. Yanga leo itakuwa inaanza mzunguko wa pili ambapo takwimu zinaonyesha timu hiyo imeshaangusha pointi nane ndani ya…

Read More

Diarra anawapiku hapa Manula, Kassali

MAKIPA Djigui Diarra wa Yanga, Aishi Manula (Azam) na Mahamadou Tanja Djibrilla Kassali Djibo (Simba), wameendelea kuonyesha ubora katika mechi mbalimbali hasa za Ligi Kuu Bara, huku viwango vyao vikiwa ni msaada kwa timu zao. Kwa jumla makipa hawa wameokoa hatari 16 zilizodhaniwa zingewanyima cleansheet na kuwaacha waliojaribu kuwafunga wakishika vichwa kutokana na ufundi wao…

Read More

Sare ya Simba yalinda rekodi ya Yanga

Simba juzi Alhamisi, Machi 19, 2026 ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Pamba Jiji katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC iliyochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza. Matokeo hayo yameifanya Simba ipande hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikifikisha pointi 28 huku Pamba jiji ikibaki katika nafasi ya tano ikifikisha pointi 25….

Read More

JKU yajiandaa mechi 10 za mwisho kuimarisha mbio za ubingwa

JKU imetamba mafanikio yanayopatikana ni kutokana na nidhamu iliyopo baina ya wachezaji na viongozi na wanachofanya hivi sasa ni kuhakikisha wanarudisha ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar. Akizungumza na Mwanaspoti, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Ali Bakari alisema mbinu inazozitumia timu kutafuta matokeo ndizo zilizowafikisha hapo na wala hawana mpango wa kurudi nyuma zaidi ya kuwania…

Read More

Kachwele apelekwa HFX Wanderers | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI Mtanzania, Cyprian Kachwele amejiunga na Halifax Wanderers FC ya Ligi Kuu Canada kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Whitecaps FC 2. Mkataba huo unatamatika Desemba 31 mwaka huu na inaelezwa Kachwele amesajiliwa ili kukiongeza nguvu kikosi cha Wanderers. Inaelezwa sababu ya nyota huyo kutolewa kwa mkopo ni kumpa muda zaidi wa kupata…

Read More

Ambokile atuliza presha Mbeya City

MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, Eliud Ambokile amesema licha ya mwenendo usioridhisha wa kikosi hicho msimu huu katika Ligi Kuu Bara, lakini bado wana nafasi ya kubadilisha upepo mbaya unaowaandama, kutokana na ubora wa wachezaji waliopo kikosini. Akizungumza na Mwanaspoti, Ambokile, alisema bado wana wachezaji wazuri wanaoweza pia kubadilisha hali iliyopo, licha ya ushindani mkali uliopo…

Read More

Simba, Yanga zitakavyonogesha Kombe la Muungano 2026

WAKATI za Yanga na Simba zikiwa miongoni mwa timu shiriki za Kombe La Muungano 2026, imeelezwa uwepo wao utaleta ushindani na kuongeza hadhi kwa mashindano hayo. Akizungumza na Mwanaspoti, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Hussein Ahmada Vuai alisema ushiriki wa timu hizo utazidi kuleta hamasa kwa mashabiki kufika viwanjani kushuhudia burudani…

Read More