Mtihani wa makipa wazawa | Mwanaspoti
KIPA wa Mashujaa FC, Patrick Munthali ndiye aliyekuwa kinara wa clean sheet akifikisha 12 kwa wazawa msimu uliopita Ligi Kuu Bara, ambapo amezungumzia ugumu wa kuifikia rekodi hiyo. Munthali amesema alipata na majeraha, hivyo katika mechi sita dhidi ya Singida Black Stars, Pamba Jiji, Simba, KMC na Tanzania Prisons ndizo alipata cleansheets moja anayomiliki msimu…