TPLB: TRA United v Simba mtatumia tiketi za awali
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza rasmi kuwa mchezo namba saba (7) wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026 kati ya TRA United FC na Simba SC utafanyika Aprili 9, 2026 katika Sheikh Amri Abeid Stadium, kuanzia saa 10:00 alasiri. Mchezo huo ulikuwa uchezwe Machi 14, 2026 lakini uliahirishwa kufuatia mvua kubwa iliyonyesha…