Simba yamfuata mrithi wa Djibrilla Kassali
TAARIFA zinasema Simba hivi sasa inajiandaa kuyaanza maisha ya msimu ujao wa 2026-2027 bila ya kipa wake wa sasa, Djibrilla Kassali, huku ikienda Nigeria kuzungumza na nyanda mmoja wa maana. Kama mazungumzo yatakwenda sawa kati ya Simba na kipa namba moja wa timu ya taifa ya Nigeria, Stanley Nwabali, huenda msimu ujao wa 2026-2027 akatua…