Ushindi wa Takaichi Unasemaje Kuhusu Siasa za Vijana katika Enzi ya Dijitali – Masuala ya Ulimwenguni

Picha: Hiroshi-Mori-Stock / shutterstock.com na 内閣広報室 / Ofisi ya Masuala ya Umma ya Baraza la Mawaziri / Wiki Commons Maoni by Ria Shibata Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service Ushindi wa Sanae Takaichi katika uchaguzi wa Februari unaashiria mabadiliko ya kihistoria katika siasa za Japan. Akiwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa Japani na…

Read More

Uwekezaji bila bima ulivyo hatari kwa utajiri wako

Dar es Salaam. Jamii imekumbushwa umuhimu wa kuweka mikakati madhubuti ya kulinda utajiri sambamba na juhudi za kuujenga, ili kuhakikisha usalama wa kifedha wa muda mrefu. Akizungumza katika kongamano la Women Shaping the Future 2026, lililoandaliwa na Shirika la Wakala (SRC) jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Meneja wa Bancassurance wa Alliance Life Assurance, Tumaini…

Read More

Magori Afunguka Sakata la Mpanzu, Asema Hana Mgomo wa Mkataba

Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Crescentius Magori. Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Crescentius Magori, amejitokeza na kutoa ufafanuzi kuhusu hali ya wachezaji Mpanzu na Loemba pamoja na masuala ya usajili yanayozunguka klabu hiyo, akikanusha baadhi ya taarifa zilizosambaa mitandaoni. Akizungumza, Magori ameeleza kuwa Mpanzu hana mgomo wowote unaohusiana na mkataba wake mpya, bali bado ana…

Read More

DPP amfutia kesi Tumaini aliyedaiwa vitu vya Sh1.5 bilioni

‎Dar es salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi na kumuachia huru, mshtakiwa Tumaini Moshi (33) aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini ( DPP), kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yake. Mshtakiwa huyo alikuwa anakabiliwa na shtaka moja la unyang’anyi wa kutumia silaha…

Read More

Trump alaumiwa kwa kufurahia kifo cha bosi wa zamani wa FBI

Dar es Salaam. Rais wa Marekani, Donald Trump, amekumbana na wimbi la lawama baada ya kutoa kauli iliyotafsiriwa kuwa ya kikatili kutokana na kifo cha Robert Mueller, aliyekuwa mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI). Mueller, mkongwe wa vita vya Vietnam na mwanasheria aliyewahi kuongoza uchunguzi nyeti kuhusu madai ya Russia kuingilia…

Read More

Trump Aitaja China Kusukuma Iran Kukubali Mazungumzo ya Amani

Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema anaamini kuwa China imekuwa na mchango mkubwa katika kuishawishi Iran kukubali kuingia kwenye mazungumzo ya kusitisha vita dhidi ya Marekani na Israel. Akizungumza na shirika la habari la AFP, Trump alidai kuwa juhudi za China zimechangia kufikiwa kwa hatua ya mazungumzo, wakati mvutano wa…

Read More

Rais wa zamani wa Ufilipino akabidhiwa ICC

Ndege iliyokuwa inambeba Duterte iliondoka Manila Jumanne jioni. Alikamatwa baada ya kuwasili na familia yake kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Manila Jumanne asubuhi akitokea Hong Kong, chini ya hati ya kumkamata ya ICC. Mahakama hiyo ya kimataifa iliamuru akamatwe baada ya kumshtumu kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu kutokana na sera yake mbaya ya…

Read More

Kwa Wasichana katika Ukanda wa Kikabila wa Pakistani, Michezo ya Wanawake Inakuja kwa Gharama — Masuala ya Ulimwenguni

Picha inaonyesha timu ya kriketi ya wasichana wote kutoka Dir ambayo ilifika fainali ya michezo ya kanda, yote bila kufundishwa, mnamo 2023. "Fikiria kile wanaweza kufikia wakiwa na vifaa vinavyofaa na mafunzo yanayofaa," Alisema Noorena Shams, pia kutoka Dir. Kwa hisani: Noorena Shams na Zofeen Ebrahim (karachi, pakistan) Jumatano, Machi 04, 2026 Inter Press Service…

Read More