JAB: Uhuru wa Vyombo vya Habari Upo, Lakini Lazima Uendane na Maadili
Na Mwandishi Wetu. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesisitiza kuwa uhuru wa vyombo vya habari nchini upo, unalindwa kisheria na unatambuliwa katika Katiba pamoja na Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229, huku ikitoa wito kwa wanahabari kuzingatia maadili na uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao. Kauli hiyo ya JAB imetolewa…