Fei Toto abeba zigo kubwa Dar es Salaam Dabi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kesho Jumapili anakutana na waajiri wake wa zamani Yanga katika mechi ya Ligi Kuu Bara huku akiwa na zigo zito linalomkabili. Nyota huyo ambaye huu ni msimu wa tatu anaitumikia Azam tangu alipojiunga nayo 2023-2024 akitokea Yanga. Kwa msimu huu, tayari Fei Toto amevunja rekodi yake…

Read More

Ndege ya Kujaza Mafuta ya Marekani Yaanguka Magharibi mwa Iraq

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Jeshi la Marekani limethibitisha kuwa ndege yake ya kijeshi imeanguka nchini Iraq. Kwa mujibu wa taarifa ya U.S. Central Command, ndege ya kujaza mafuta angani aina ya Boeing KC-135 Stratotanker ilianguka baada ya kutokea tukio lililohusisha ndege mbili angani. Jeshi hilo limesema tukio hilo halihusiani na mashambulizi ya…

Read More

Dk Mwinyi atengua, kuteua wakuu wa wilaya

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametengua na kuteua wakuu wa wilaya watano Zanzibar. Kati ya hizo, tatu zilikuwa zinakaimiwa na mbili waliokuwa wakuu wa wilaya hizo uteuzi kutenguliwa. Katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Zena Said, Ali Abdalla Said Natepe ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharib…

Read More