Mapendekezo ya wanazuoni wa Kiislamu makali ya mafuta
Dar es Salaam. Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania, wamependekeza Serikali ipunguze au kuondoa baadhi ya kodi na tozo katika nishati ya mafuta, ili kunusuru uchumi wa wananchi dhidi ya makali ya mfumuko wa bei unaochochewa na migogoro ya Mashariki ya Kati. Mengine yaliyopendekezwa na jumuiya hiyo ni Serikali kuangalia upya bei za pembejeo za…