Bares aondoka KMC, aweka imani kwa kocha ajaye

BAADA ya Kocha Abdallah Mohamed ‘Bares’ kufikia makubaliano ya kuachana na KMC, amesema anaamini mbadala wake atakuwa na jambo la kushauri ili kuhakikisha timu hiyo inasalia Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Bares alisema siyo jambo jema kuizungumzia KMC kwa sasa baada ya kuondoka, lakini anachoamini bado ina nafasi ya kupambania malengo yake, akitumia kauli…

Read More

Shambulio la bomu katika shule ya msingi ya Iran ‘ni ukiukaji mkubwa wa sheria ya kibinadamu’: UNESCO – Masuala ya Ulimwenguni

Makombora hayo yanaripotiwa kuharibu shule ya msingi ya msichana huko Minab, kusini mwa Iran, na kuua karibu 150 na kujeruhi karibu 100. Wanafunzi wengi wanaaminika kuwa miongoni mwa waliofariki. Katika a kauli iliyotolewa kwenye mitandao ya kijamii, UNESCO walionyesha kusikitishwa sana na athari za mashambulizi ya kijeshi, ambayo yaliendelea hadi Jumapili, na kubainisha kuwa wanafunzi…

Read More

‘Skyrocketing’ inahitaji kupita ufadhili wa Sudan, mgomo wa Ukraine wasasisha, usalama wa maji duniani – Masuala ya Ulimwenguni

Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Misaada ya Kibinadamu Denise Brown amerejea jijini na timu kuu, kuashiria kujitolea upya kuwafikia wale wanaohitaji. Haya yanajiri huku zaidi ya watu milioni 1.6 wakirejea katika mji mkuu hivi majuzi, licha ya tishio la kudumu la miundombinu iliyoharibiwa na mabaki ya vita. Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane…

Read More

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel, Kamoto Afanya Ziara ya Mradi wa Ukarabati Shule ya Msingi Kiromo

MKURUGENZI Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, pamoja na viongozi wengine wa kampuni, hivi karibuni walifanya ziara katika Shule ya Msingi Kiromo ili kuangalia maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na Airtel Tanzania. Mradi huu unaonyesha dhamira ya Airtel katika kuboresha mazingira ya kujifunzia na kusaidia elimu katika jamii wanazofanyia kazi. Wakati wa ziara, timu…

Read More

Wanasheria wajitosa kupambania haki za urithi kwa wanawake

Arusha. Umoja wa Wanasheria wa Pan-Africa (Palu) umeanza hatua za kutetea haki za urithi za wanawake wa Kiafrika wanaoishi katika ndoa zisizo rasmi, zinazojulikana kama “njoo tuishi,” pamoja na watoto wao ili kuhakikisha wanapata haki sawa za urithi. Hatua hiyo imeanza leo Machi 17, 2026 jijini Arusha baada ya Palu kuwasilisha hati ya kuomba mwongozo…

Read More

Chadema yamtilia shaka Mwakilishi UN

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonesha wasiwasi wa kuwepo kwa mgongano wa masilahi dhidi ya Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN), Parfait Onanga-Anyanga, aliyetumwa kuzungumza na makundi mbalimbali nchini kuhusu matukio ya Oktoba 29. Onanga-Anyanga, amefanya ziara hiyo Machi 8 hadi 12, mwaka huu na kuzungumza na wadau mbalimbali, wakiwamo viongozi…

Read More

CCM NA FRELIMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Chama cha FRELIMO, (Msumbiji), Ndugu Chakil Felizardo Passadas Aboobacar, ambaye ameanza ziara rasmi ya kikazi kwa siku mbili nchini. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo tarehe 6 Machi 2026, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM,…

Read More