Mwanafunzi afariki dunia kwa kupigwa na radi Tabora
Tabora. Mtoto mmoja, Aishara Shingu (11), aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Ussoke iliyopo Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, amefariki dunia na watu wengine watano wakijeruhiwa baada ya kupigwa na radi. Akizungumzia tukio hilo leo Aprili 9, 2026, Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Tabora, Loshipay Laizer amesema…