Yemen yaingia rasmi vitani kwa maslahi ya Iran

Yemen imetangaza rasmi kuingia katika vita kwa maslahi ya Iran, na sasa kila mtu ana wasiwasi kuhusu muelekeo wa vita hivi huku Wamagharibi na waungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel wakiingiwa na wasi wasi mkubwa kwamba huenda uchumi wa utawala ukabanwa na kupata madhara makubwa jeshi la Yemen litaamua kufunga na njia muhimu ya…

Read More

Diwani Ndule Ashukuru Global TV Kusaidia Kurejesha Mwili wa Veronika Nyamwendo – Video

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Diwani wa Kata ya Vighawe, Mpwapwa mkoani Dodoma, Emmanuel Ndule ameishukuru Global TV kwa jinsi ilivyosimamia suala la mwili wa Mtanzania Veronika Nyamwendo aliyefariki dunia akiwa Oman, unarudishwa nchini na kwenda kuzikwa kijijini kwao. Amesema Global TV inasaidia wanyonge na kuiomba serikali iangalie namna ya kuishika mkono. Pia…

Read More

Gridi ya Taifa ya Maji itachochea maendeleo kwa kasi

………. Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Maji ni kimiminika muhimu kwa maisha na uhai wa viumbei. Maji hutumika kuanzia asubuhi, mchana, jioni hadi usiku. Hutumika kwa matumizi ya nyumbani kama kupikia, kufulia na kuogea. Hutumika katika shughuli za kiuchumi kama viwandani, mashambani, migodini, masokoni kutaja kwa uchache.  Maji hayana mbadala, panapohitajika maji, hakuna namna nyingine…

Read More

MWANAMKE CHUMA MAENDELEO GROUP YAWAKUMBUKA WAFUNGWA WANAWAKE GEREZA LA KAHAMA

Na Kadama Malunde – Kahama Katika kuendeleza jitihada za kijamii na kuonesha mshikamano wa dhati kwa wanawake wenzao, Kikundi cha wanawake maarufu kinachojulikana kama Mwanamke Chuma Maendeleo Group kimetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa wafungwa wanawake katika Gereza la Kahama Mkoani Shinyanga, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea kilele cha Tamasha la Mwanamke Chuma 2026…

Read More

Jukwaa la usafiri mtandaoni lawafariji watoto yatima Dodoma

Dar es Salaam. Wawakilishi wa jukwaa jipya la usafiri wa kukodi mtandaoni, Maxim, wametembelea kituo cha watoto yatima cha Tumaini Foundation kilichopo jijini Dodoma, na kutoa msaada wa chakula unaotarajiwa kudumu kwa miezi miwili hadi mitatu kwa watoto zaidi ya 150 wanaolelewa kituoni hapo. Ziara hiyo haikulenga salamu za kawaida wala kupiga picha za kumbukumbu…

Read More

Jeuri ya Barker Simba iko hapa!

KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker siku zinavyozidi kwenda, anapata jeuri kubwa ya kuendelea kufanya vizuri na kikosi hicho akiamini kina nafasi kubwa ya kufikia malengo msimu huu. Jeuri ya Barker inakuja kwa kile alichoeleza kwamba, kikosi chake kinazidi kuimarika hali ambayo inampa wakati mzuri wa kuandaa timu ya kucheza na mpinzani yeyote huku akisema…

Read More