Baraza la ardhi lafuta kesi ya ardhi kutokana na dosari za kisheria
Moshi. Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Moshi limefuta shauri la ardhi linalowahusisha wanaukoo baada ya kubaini kuwa mleta maombi alikiuka amri ya awali ya marekebisho ya hati ya maombi. Uamuzi huo umetolewa Februari 24, 2026 na Mwenyekiti wa baraza hilo, Hussen Lukeha baada ya kukubaliana na pingamizi la awali lililowasilishwa na mjibu…