Furahia ndoa duniani kabla ya mbinguni
Dar es Salaam. Katika jamii nyingi, ndoa imekuwa ikizungumziwa zaidi kama jukumu kuliko baraka, kama mzigo kuliko safari ya furaha. Watu wengi huingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio ya kiroho zaidi ya kibinadamu. Wengi husema: “tutavumilia kwa ajili ya mbinguni, huku duniani ni mateso tu,” au “furaha ya kweli ipo baada ya maisha haya.” Mtazamo…