Ukiona dalili hizi, jua ushachokwa

Dar es Salaam. Uhusiano kati ya mwanaume na mwanamke huwa na hatua mbalimbali, ikiwamo kipindi ambacho hisia za mapenzi hupungua au kuisha. Mara nyingi, dalili za mabadiliko haya hutofautiana kati ya mwanaume na mwanamke. Kutozitambua dalili hizi kunaweza kumfanya mmoja kuendelea kung’ang’ania uhusiano akidhani bado upo imara, ilhali tayari umeanza kudhoofika. Kadiri mtu anavyochelewa kugundua…

Read More

Safari ya wanaanga wa NASA; Rekodi, sayansi na historia

Dar es Salaam. Wanaanga wanne kutoka Shirika la Anga la Marekani (NASA) wameanza kurejea duniani baada ya kukamilisha safari ya kihistoria ya kuuzunguka mwezi, na kufanikiwa kufika mbali zaidi na Dunia kuliko binadamu yeyote kuwahi kufika. Safari hiyo ya siku 10, iliyoanza Aprili mosi, 2026, iliyopewa jina ‘Artemis II’, imehusisha wanaanga Reid Wiseman, Victor Glover,…

Read More

Waziri: Tunatambua yanayoendelea soko la Darajani

Unguja. Wakati kukiwa na malalamiko na mijadala kuhusu vikosi vya Idara Maalumu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuwapiga wananchi na kuwanyang’anya bidhaa katika Soko Kuu la Darajani, Serikali imekiri kuwepo kwa kero hiyo na kutaka kusitishwa kwa matumizi ya silaha kuanzia sasa. Hayo yameelezwa leo Jumatano Machi 11, 2026 na Waziri wa Nchi, Ofisi…

Read More

Ajira 1,300 za kada ya afya zanukia Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza mpango wa kutoa ajira 1,300 kwa wataalamu wa sekta ya afya, katika jitihada za kukabiliana na upungufu wa watumishi na kupunguza msongamano katika hospitali za rufaa. Hatua hiyo inatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa, huku wataalamu hao wakipangiwa kufanya kazi zaidi katika zahanati na vituo vya afya, ambako…

Read More

Mtaalamu sayansi, usalama wa mtandao atinga Tume

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Machi 2, 2026 imekutana na Mtaalamu wa Uchunguzi wa Kisayansi na Usalama wa Mtandao, Yusuph Kileo. Mkutano huo wa Tume na Mchunguzi huyo umefanyika katika ukumbi wa Tanganyika uliopo jengo la Benki Kuu ya…

Read More

MAHUBIRI: Njia za Mungu kujiondoa katika mipaka ya kiroho

Bwana Yesu asifiwe! Karibu kwenye tafakari ya Neno la Mungu siku ya leo Jumapili ambapo tumepewa somo linalosema ‘Njia za Mungu kujiondoa katika mipaka ya kiroho’. Katika maisha ya mwanadamu kuna mambo mengi yanayoonekana kwa macho, lakini pia kuna mambo mengi yasiyoonekana yanayotawala maisha ya watu. Moja ya mambo hayo ni mipaka katika ulimwengu wa…

Read More

Kicheko, Sungusungu sita waliohukumiwa kunyongwa wakiachiwa huru

Arusha. Walinzi sita wa jadi, “Sungusungu”, waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo mwaka 2024, wameachiliwa huru na Mahakama ya Rufani kwa kuwa mashtaka dhidi yao hayakuwa yamethibitishwa kwa viwango vinavyokubalika kisheria. Kesi hiyo inahusiana na tukio la kifo cha Njokuti Moringe, maarufu kama Mbaazi, ambaye mwili wake ulipatikana Septemba 19, 2020, katika eneo la Kazingumu, Kijiji…

Read More

Stanbic Yaandaa Futari Kuimarisha Mahusiano na Wadau

Benki ya Stanbic imeandaa futari maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana, ikiwa ni sehemu ya kushiriki baraka za mwezi mtukufu wa Ramadan pamoja na kuimarisha mahusiano na wadau wake. Tukio hilo liliwakutanisha viongozi wa dini, viongozi wa benki pamoja na wateja katika mazingira ya mshikamano na tafakari ya maadili ya kijamii yanayohimizwa katika kipindi…

Read More