Kaya 1,000 Lindi, Pwani zafikiwa na huduma ya gesi asili majumbani
Pwani. Kaya 1,000 Lindi na Pwani zafikiwa na huduma ya gesi asili majumbani Kaya 1,000 katika mikoa ya Lindi na Pwani zimeanza kunufaika na mradi wa usambazaji wa gesi asilia majumbani baada ya kufikishiwa huduma hiyo. Hayo yameelezwa leo, Machi 8, 2026 na Mhandisi Mwandamizi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Anthony Karomba,…