Boti yapinduka Ziwa Tanganyika, watumishi sita wa afya wafa maji

Kigoma. Watumishi sita wa Idara ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, mkoani Kigoma wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka katika Ziwa Tanganyika. Watumishi hao walikuwa wakitoka Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Kagunga kutoa huduma ya chanjo walipokumbwa na ajali hiyo iliyosababishwa na upepo mkali uliosababisha mawimbi makubwa ziwani. Akizungumza katika eneo…

Read More

MAADILI YA RAMADHAN YAHIMIZWA KUDUMISHWA MBEYA

Na Mwandishi Wetu, Mbeya MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda, amewahimiza viongozi wa dini ya Kiislamu kuendelea kusimamia na kuimarisha maadili kwa waumini hata baada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Itunda ametoa wito huo wakati wa hafla ya Iftari iliyoandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Erica Yegella, iliyolenga…

Read More

Mastaa Ligi Kuu Bara watabiri Dabi ya Kariakoo

MASHABIKI wa Yanga wanachekelea ushindi wa timu yao wa mabao 5-0 dhidi ya JKT Tanzania, huku wenzao wa Simba wakinuna baada ya suluhu 0-0 mbele ya Dodoma Jiji, lakini baadhi ya wadau wamesema matokeo hayo hayatoi picha ya matokeo ya Dabi ya Kariakoo kutokana na ukweli mechi za watani huwa zina matokeo ya kushangaza. …

Read More

REA IMEBEBA AJENDA YA MAENDELEO YA WATU WA VIJIJINI MKOANI GEITA – MWENYEKITI KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kusambaza umeme ili kuhakikisha wananchi wanaoishi pembezoni mwa miji na vijijini wanapata huduma hiyo muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Akizungumzia mafanikio ya Miradi ya kusambaza umeme…

Read More