Safari ya Ulimwengu wa Kipekee wa Meridianbet Uliojaa Mpunga

MERIDIANBET imeleta kitu tofauti kabisa, safari ya kipekee inayokupeleka moja kwa moja kwenye ulimwengu wa Marekani ya zamani, mahali ambapo kila ukicheza ni kama hadithi mpya ya ushindi. Hii ni Pia Slot, mchezo ambao ukishaingia tu, unakutana na michoro ya kuvutia, na mazingira halisi ambayo yanakuweka mchezoni kabisa. Hapa mambo ni safi na ya uhakika,…

Read More

Simulizi tamu ya Tepsie Evance na Okello wa Yanga

STAA wa zamani wa Simba na Taifa Stars, Shaban Kisiga aliwahi kusema kipaji kinakijua kipaji kingine hata kama wachezaji wanacheza timu tofauti. Hali hiyo imetokea kwa winga wa Azam anayecheza JKT Tanzania kwa mkopo, Tepsi Evance ambaye jina la utani wanamwita Okello. Kauli ya Kisiga ilitokana na kiungo wa zamani wa Yanga, Haruna Niyonzima aliyewahi…

Read More

FORLAND YAHAMASISHA MATUMIZI YA MITI MINGINE YA ASILI

Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv WIZARA ya Maliasili na Utalii, kupitia mradi wa FORLAND, imesema inaendelea kuhamasisha matumizi ya miti mingine ya asili tofauti na inayojulikana sasa ya Mninga na Mkongo. Akizungumza na waandishi wa habari katika maonyesho ya siku misitu, yanayoendelea kwenye viwanja vya Ilulu vilivyopo Manispaa ya Lindi, mkoani humo, Afisa misitu na…

Read More

Sikia hii ya Mwangosi Simba

MSHAMBULIAJI wa Simba, Baraka Mwangosi ametajwa kama mchezaji atakayefanya makubwa baadaye, huku akitakiwa hivi sasa kujifunza vitu vingi kiufundi na ushindani vitakavyomjengea kujiamini na kutegemewa katika timu hiyo na Taifa Stars. Miongoni mwa walioliona hilo ni staa wa zamani wa Simba, Emmanuel Gabriel aliyesema Mwangosi anatakiwa kupewa muda kupata uzoefu, kujifunza vitu vingi katika timu,…

Read More

TUONGEE KIUME: Tuheshimu kiapo cha ndoa, talaka si ujanja

Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na wimbi la kusikitisha la kuvunjika kwa ndoa nchini, huku takwimu zikionyesha kuwa wanaume wengi wameanza kuichukulia talaka kama jambo la kawaida au fasheni. Tofauti na zamani ambapo talaka ilionekana kuwa ni jambo la mwisho na la dharura baada ya jitihada zote kushindikana, leo hii imekuwa ni kama “mazoea”…

Read More

Aliyekuwa DED Simanjiro afariki dunia

Simanjiro. Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Mkoa wa Manyara, Samwel Gunzah ambaye ni mfungwa amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, mkoani Dodoma. Gunzah alihukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani kwa kosa la rushwa na kutumia madaraka yake vibaya Septemba 18, 2025. Taarifa za kifo chake zilianza kusambaa mitandaoni hususan mkoani…

Read More

Imani za kishirikina zatishia wananchi kudai haki zao Tanga

Tanga. Baadhi ya wananchi jijini Tanga wameeleza hofu ya imani za kishirikina, imekuwa kikwazo kwao kudai haki zao katika migogoro mbalimbali inayowakabili ikiwemo masuala ya ardhi. Mara kadhaa wananchi wamekuwa wakisikiliza malalamiko ya wenzao, lakini wengi hushindwa kuchukua hatua kwa hofu ya madhara yanayodaiwa kuhusishwa na ushirikina. Malalamiko haya yamejitokeza katika kliniki ya sheria inayosimamiwa…

Read More