Rais Samia atoa ujumbe wa siku ya wanawake duniani
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amehimiza kuendeleza juhudi za kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata haki na usawa ili kuchochea maendeleo jumuishi ya Taifa. Rais Samia ametoa wito huo leo Machi 8, 2026 katika ujumbe wake kwa Taifa wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, akieleza siku hii ni muhimu kwa kutambua mchango mkubwa…