SABA WAKAMATWA, WAWILI WAKIHUKUMIWA MIEZI SITA JELA KWA MADAI YA KUIBIWA NYETI ZAO

 **** Jeshi la Polisi Mkoani Rukwa leo Jumatano Aprili 08, 2026 limetangaza kuwakamata Vijana saba katika Wilaya ya Sumbawanga Mkoani Rukwa, wawili kati yao wakipandishwa Mahakamani na kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kila mmoja, kwa kudai kuibiwa nyeti zao suala ambalo si kweli na lilichochea wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwashambulia watu wasiokuwa na…

Read More

Haji Manara Azungumzia Mchango wa Ssebo Kwenye Tasnia ya Habari ‘Tumepoteza Mtu Muhimu’ – Video

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Diwani wa Kata ya Kariakoo, Haji Manara, amezungumzia kuhusu marehemu Denis Busulwa almaarufu Ssebo, akimwelezea kama mtu aliyekuwa na moyo mkubwa wa kusaidia watu na aliyependa kuwa karibu na jamii enzi za uhai wake. Manara amesema Ssebo alikuwa mtu mwenye upendo na mshikamano mkubwa, ambaye alijenga urafiki na…

Read More

Dube atua anga za Wasauzi

UONGOZI wa Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini, umeanza kumfuatilia mshambuliaji nyota wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, Mzimbabwe, Prince Dube, ambaye mkataba wake na kikosi hicho unafikia tamati mwishoni mwa msimu huu. Taarifa kutoka Afrika Kusini zinaeleza kuwa mabosi wa timu hiyo wanaangalia uwezekano wa kumpata mshambuliaji huyo, baada ya kupata ugumu…

Read More

Jinyakulie Samsung A26 Mpya kwa Kucheza Super Heli

Global Publishers March 15, 2026 0 Comments Katika ulimwengu wa michezo ya kubahatisha, kila mchezaji hutafuta si tu burudani, bali pia ushindi wa maana. Na sasa, Meridianbet imekuja na ofa ya kipekee yenye msisimko na matarajio makubwa, nafasi ya kushinda simu mpya kabisa ya Samsung Galaxy A26 kwa kucheza mchezo wa Super Heli. Super Heli…

Read More