Chipukizi yashikilia hatma ya New Stone
WAKATI New Stone Town ikiwa na hali mbaya katika msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), hivi sasa hatma yao ya kusalia katika ligi hiyo imeshikiliwa na Chipukizi. Hiyo inatokana na hesabu zilivyo kwani New Stone inayoburuza mkia katika msimamo wa ligi ikiwa na pointi tatu ikibakiwa na mechi nane, huku kituo kinachofuata ni dhidi ya…