Wanazuoni waonya ‘mambo ya ovyo’ yanavyofifisha mijadala ya kitaifa
Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikipitia kipindi muhimu cha mijadala ya kitaifa, wadau mbalimbali wameibua wasiwasi juu ya mwelekeo wa mijadala hiyo, wakieleza kuwa kumekuwa na kupotea kwa kipaumbele katika masuala ya msingi yanayogusa maisha ya wananchi. Kwa sasa, nchi ipo katika hatua muhimu ya kujadili na kutafuta suluhu ya kupaa kwa gharama za mafuta,…