Simba, Yanga zagawana tuzo za kocha, mchezaji bora Februari
MSHAMBULIAJI wa Yanga Laurindo Dilson ‘Depu’ amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2025/26, huku kocha wa Simba, Steve Barker akichaguliwa kuwa Kocha Bora wa ligi hiyo kwa mwezi huo. Katika taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi, imesema: Laurindo alionesha kiwango kizuri chenye mwendelezo kwa mwezi huo…