PigaBet Yamshusha Thadei Kwenye Daladala, Sasa Afikia Wateja Kwa Wakati
Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam — Fundi wa mashine za photocopy kutoka Temeke, Mtega Thadei (33), sasa ana matumaini mapya ya kukuza kipato chake baada ya kushinda pikipiki kupitia kampeni ya #ShindaBoda ya PigaBet. Kwa muda mrefu, Thadei alikumbana na changamoto ya usafiri wakati wa kuwafikia wateja wake, hali iliyokuwa ikiathiri kasi ya kazi…