UCHAMBUZI WA MAYALA: Kosa moja, adhabu mbili, sheria mbili, kaburi uhuru wa habari
Wiki iliyopita mwandishi wa makala hii alijikuta katika hali isiyo ya kawaida baada ya kufanya kosa moja la kitaaluma na kulikubali wazi pamoja na kuomba radhi. Hata hivyo, licha ya kuomba msamaha, alikabiliwa na adhabu mbili tofauti kutoka kwa taasisi mbili za udhibiti zinazotumia sheria tofauti na zilizo chini ya wizara mbili tofauti. Tukio hilo…