Kesi ya mauaji inayowakabili wanamgambo yapigwa kalenda

Mwanza. Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana Mkoa wa Mwanza imesema haina mamlaka ya kutoa uamuzi katika kesi ya mauaji inayowakabili wanamgambo wanaotuhumiwa kuhusika katika mauaji ya kijana mmoja, hivyo inatakiwa iende Mahakama ya Kuu ya Tanzania. Hakimu Mkazi Mwandamizi, Amani Nelson Sumari, aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo, amesema hayo leo Aprili 4, 2026 katika mahakama hiyo…

Read More

TCCA YAMPONGEZA DKT. NASRA KUSAIDIA SEKTA YA ANGA

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania TCAA kupititiakwa mkurugenzi wake Ramadhani Msangi imempongeza Mkurugenzi wa kituo cha afya cha Aerospace Medical and Training Centre (AMTc) Kwa kutengeneza kitabu chenye muongozo wa kutoa huduma za afya kwenye ndege, akisema huo ni mwanzo mpya wa kusaidia huduma za anga nchini Tanzania. Wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho…

Read More

RC Mara ashusha zigo la elimu ya udumavu kwa wahudumu wa afya

Musoma. Wakurugenzi wa halmashauri tisa za wilaya mkoani Mara, wametakiwa kutenga bajeti ya kuwezesha angalau wahudumu wawili wa afya ngazi ya jamii katika kila kijiji na mtaa, hatua inayolenga kuimarisha utoaji wa elimu ya afya na lishe bora kwa wananchi. Pia, wametakiwa kuhakikisha maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe Vijijini yanafanyika katika vijiji vyote,…

Read More

Mgogoro wa Lebanon unazidi kuongezeka huku raia wakibeba mzigo mkubwa – Masuala ya Ulimwenguni

Kuongezeka kwa sasa kulianza tarehe 2 Machi, wakati moto unaomaliza muda wake wa Hezbollah ulisababisha kulipiza kisasi vikali kutoka kwa Israeli. Tangu wakati huo, nguvu ya kubadilishana imeongezeka, na moto mkali zaidi kutoka kwa Hezbollah na kuzidisha mashambulizi na uvamizi wa ardhini kutoka upande wa Israel, na kusababisha kile Bw. Riza alielezea kama “janga kamili…

Read More

KONGAMANO LA MISA TAN SUMIT 2026 LAFANA MKOANI IRINGA

🎈 Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James akaribisha kuwekeza Iringa 🎈NSSF yatoa elimu kwa wadau, wataka wajiunge wafaidike na Mafao Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James amefungua Kongamano la  MISA TAN WADAU SUMMIT 2026 ambao umewakutanisha waandishi wa habari, wahariri na wadau wa habari ambapo amesema serikali ya Mkoa wa Iringa itaendelea kushirikiana…

Read More