Makubaliano Musongati yafungua ukurasa mpya uchimbaji Nikeli Afrika Mashariki
Dar es Salaam. Kampuni ya Lifezone Metals inayomiliki Tembo Nickel, imesaini makubaliano ya miezi 14 na Serikali ya Burundi kuhusu maendeleo ya mgodi wa Nikeli wa Musongati. Hatua hiyo inatajwa kuwa inaenda kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika sekta ya madini na miundombinu. Akizungumza kuhusu makubaliano hayo yaliyosainiwa Machi 10, 2026, Mkurugenzi Mtendaji wa Tembo Nickel,…