KITILA AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI UBUNGO

Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais–Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akimzungumza wakati wa hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Ofisi ya Mbunge kwa kushirikiana na Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Afrika Mashariki (EACLC) ****** Na Mwandishi Wetu. Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya…

Read More

Simba Queens yarudi kambini kujiandaa mzunguko wa pili WPL

SIMBA Queens imeingia kambini mapema kuanza maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini, huku benchi la ufundi likieleza lengo kubwa ni kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri katika mechi zilizosalia. Kocha msaidizi wa timu hiyo, Mussa Hassan Mgosi alisema kufanya maandalizi ya mapema ni muhimu kwa kikosi hicho ili kurejea uwanjani kikiwa…

Read More

Shauri la Kikatiba lililofunguliwa na TLS latupwa

Dar es Salaam. Dosari za kisheria katika hati ya kiapo cha rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, kimesababisha shauri la kikatiba lililofunguliwa dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), kutupwa na mahakama. Uamuzi wa kutupa shauri hilo baada ya kubainika dosari hizo, umetolewa jana Jumatano, Machi 11, 2026 na jopo la majaji…

Read More

Depu aendeleza moto Ligi Kuu, Nsajigwa hali bado tete

LAURINDO Aurelio ‘Depu’ amempatia kocha Pedro Goncalves kile alichohitaji baada ya kufunga bao pekee wakati Yanga ikiichapa Tanzania Prisons. Depu ambaye alitokea benchi kipindi cha pili akiingia kuchukua nafasi ya Mohamed Damaro, dakika ya 78 alifunga bao hilo kufuatia kipa wa Tanzania Prisons, Mussa Mbissa kushindwa kuokoa mpira wa faulo uliopigwa na Allan Okello. Mechi…

Read More

Epuka Makosa Haya 9 Unaponunua Blueberries

Global Publishers April 7, 2026 0 Comments Matunda ya blueberries ni miongoni mwa vyakula vinavyopendwa sana wakati wa msimu wa joto, si tu kwa ladha yake tamu bali pia kwa faida zake kiafya kama kusaidia kumbukumbu, kupunguza shinikizo la damu na kuwa na kiwango kidogo cha kalori. Hata hivyo, wataalamu wa lishe wanaonya kuwa watu…

Read More

Kituo cha nyuklia cha Iran chagongwa sawa na ‘darasa moja la watoto’ waliouawa, kujeruhiwa kila siku nchini Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Pointi muhimu Watu 1,000+ waliuawa na 2,584 kujeruhiwa nchini Lebanon tangu Machi 2 Iran yaathiriwa na kituo cha nyuklia Mashirika ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa watu milioni 45 wanaweza kukabiliwa na njaa ikiwa vita dhidi ya Iran vitaendelea “Ongezeko la hivi majuzi limeua au kujeruhi sawa na darasa moja la watoto kila siku,” alisema…

Read More