Usipojipanga BDL imekula kwako | Mwanaspoti

WAKATI timu zikisubiri kutangaziwa tarehe ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), timu zitakazoshindwa kujipanga vizuri huenda zikajikuta zikikumbana na vichapo vya kushangaza kutokana na namna ambavyo maanadalizi yanaendelea. Ugumu kwa baadhi ya timu hizo huenda ukachangiwa na ubora wa timu zoefu zilizopo katika ligi hiyo ambazo husajili wachezaji wazoefu…

Read More

Mabadiliko ya Utawala Usiokubalika nchini Irani na Jinsi Vita Vinavyoathiri Ulimwengu – Masuala ya Ulimwenguni

Ali Khamenei aliyefariki akikabidhi bendera ya Iran kwa picha ya kioo ya mtoto wake, Mojtaba Khamenei. Kutoka kwa wavuti https://english.khamenei.ir/ Maoni na Jan Lundius (Stockholm, sweden) Alhamisi, Machi 12, 2026 Inter Press Service STOCKHOLM, Uswidi, Machi 12 (IPS) – Vita vya Marekani/Israel dhidi ya Iran vinaweza kuwa kama kuchafua kiota cha mavu, kueneza hofu na…

Read More

Bandari, Planet kinapigwa fainali ya pili

JOTO la fainali ya pili ya Dunda Swish Tournament linazidi kuzikumba timu za Bandari Mwanza na Bugando Planet. Fainali hiyo itafanyika Machi 15, 2026 katika Uwanja wa Mirongo mjini Mwanza, ikitanguliwa na mchezo wa fainali ya wanawake kati ya Eagle Queens na Court Queens. Nyota wa Bandari Mwanza, Alphonce Kasekwa alisema timu yake imekuwa ikirekebisha…

Read More

Hili ndilo soko la mafuta na bei zinapangwa hivi

Vita inayoendelea katika ghuba ya Uajemi tayari vimesababisha bei ya bidhaa muhimu ya mafuta kuongezeka, na ikiwa vita hiyo itaendelea ni dhahiri dunia inaweza kuangukia kwenye mgogoro wa kiuchumi unaosababishwa aidha uhaba wa mafuta au kupanda kwa gharama za maisha kutokana mfumuko wa bei na kuongezeka gharama za uzalishaji. Mafuta ndicho chanzo kikuu cha nishati…

Read More

Mzawa aja na jukwaa la suluhu kwa wabunifu na wasaka ajira

Suala la ukosefu wa ajira rasmi limekuwa likiumiza kichwa wengi, kuanzia kwa watu binafsi hata Serikali, lakini sasa Kwanzahub imekuja na suluhu ambalo hata kama sio la kumaliza tatizo lakini walau kupunguza na kuonyeshwa njia ya kutatua tatizo hilo. Suluhu hiyo inahusisha kutoa jukwaa la vijana kuonyesha mawazo yao ya kibunifu, kuyelea, kuyauza lakini ni…

Read More

Ripoti yabainisha pengo uchimbaji endelevu Bulyanhulu, Barrick yajibu

Ripoti mpya ya utafiti imeibua taswira ya pande mbili katika sekta ya madini nchini, ikionesha mafanikio ya uwekezaji na uwajibikaji wa kampuni, lakini pia ikifichua mapengo ya ushirikishwaji wa jamii, uwazi wa taarifa na mifumo ya kushughulikia malalamiko. Ripoti hiyo iliyoandaliwa na HakiRasilimali kwa kutumia viwango vya kimataifa vya Towards Sustainable Mining (TSM), imechambua hali…

Read More

MWENYEKITI WA KAMATI YA TEITI APONGEZA MGODI WA DHAHABU WA GEITA KWA KUTEKELEZA SHERIA NA MIRADI YA CSR

📍*Geita.* Mwenyekiti wa Kamati ya TEITI, Balozi Wilson Masilingi, ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited akiambatana na Menejimenti ya TEITI, kwa lengo la kujitambulisha na kufanya mazungumzo na menejimenti ya mgodi huo. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Balozi Masilingi alisema ziara hiyo imelenga kujenga na kuimarisha ushirikiano kati ya TEITI na wadau…

Read More