Kilichotokea dakika 90, Mnyupe alivyoimaliza Dar Derby
ILE Dar es Salaam Derby kati ya Azam dhidi ya Yanga, imelizika kinyonge sana kwa timu hizo zikitoka bila kupatikana mshindi huku changamoto za waaamuzi zikiendelea kushika nafasi kwenye michezo hiyo mikubwa nchini. Mchezo huo uliopigwa Jumapili Machi 15, 2026 pale Benjamin Mkapa jijini Dar, umezifanya timu hizo ndani ya dakika 90 kushindwa kuonyesha mambo…