Marekani, Iran zakubaliana kusitisha mapigano
Dar es Salaam. Kitendo cha Marekani na Iran kukubaliana kusitisha mapigano kwa muda wa wiki mbili kimeibua matumaini mapya, kikichochea kushuka kwa bei za mafuta duniani na kupunguza mvutano uliokuwa ukitishia kuzua vita kubwa Mashariki ya Kati. Makubaliano hayo yaliyofikiwa Jumanne jioni yanajumuisha kufunguliwa kwa muda kwa njia muhimu ya usafirishaji wa nishati duniani, mlango…