SADC YAHIMIZA MTANGAMANO WENYE MATOKEO CHANYA KATIKA KIKANDA

:::::::::: Mkutano wa Kamati ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 07, 2026, chini ya Uenyekiti wa Balozi Tebogo Seokolo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano ya Afrika Kusini.  Katika hotuba ya ufunguzi Balozi Seokolo alihimiza Nchi Wanachama…

Read More

Kuwakumbuka wahanga wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi nchini Rwanda – Global Issues

Utoto wa Serge Gasore ni mambo ya jinamizi. Alikuwa mtoto mdogo wakati mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi yalipoanza nchini Rwanda mwaka 1994 na kuponea chupuchupu kifo mara kadhaa. Mama yake aliuawa, na alimwona nyanya yake akiuawa kwa shambulio la guruneti kwenye kanisa ambalo Watutsi walikuwa wamejificha. Alitumia wiki kadhaa kuwakimbia washambuliaji wa Kihutu lakini…

Read More

Wanawake wa TCAA Watoa Msaada Gereza la Segerea Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake, wanawake kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wametembelea Gereza la Wanawake Segerea jijini Dar es Salaam na kutoa msaada wa vifaa na mahitaji mbalimbali kwa ajili ya kuwafariji wafungwa wanawake na watoto wanaoishi gerezani hapo. Katika ziara hiyo, wanawake hao walikabidhi mahitaji muhimu kwa uongozi…

Read More

Mwanafunzi afariki dunia kwa kupigwa na radi Tabora

Tabora. Mtoto mmoja, Aishara Shingu (11), aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Ussoke iliyopo Wilaya ya Urambo mkoani Tabora, amefariki dunia na watu wengine watano wakijeruhiwa baada ya kupigwa na radi. Akizungumzia tukio hilo leo Aprili 9, 2026, Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Tabora, Loshipay Laizer amesema…

Read More

Wizara ya Afya Yatoa Tahadhari Ongezeko la Influenza, UVIKO-19, Dengue na Kipindupindu – Video

WIZARA ya Afya imetoa taarifa kwa umma kuhusu mwenendo wa magonjwa ya mlipuko nchini, ikiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, Homa ya Dengue na Kipindupindu, huku ikitoa tahadhari na wito kwa wananchi kuendelea kuchukua hatua za kujikinga. Katika taarifa hiyo iliyotolewa jijini Dodoma, Wizara imeeleza kuwa katika kipindi cha karibuni kumekuwapo na ongezeko la wagonjwa…

Read More

KITULO GARDEN MARATHON KUITANGAZA NJOMBE, RC MTAKA AFUNGUKA

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amewakaribisha Watanzania hasa wanariadha kushiriki Kitulo Garden Marathon inayotarajia kufanyika Mei 2 mwaka huu. Amesema anaamini mbio za Kitulo Garden Marathon zinakwenda kufanyika katika mwezi mzuri kwani mkoa huo utakuwa na wageni wengi ambao watakwenda kwenye sherehe za Mei Mosi hivyo kupitia mbio hizo washiriki…

Read More

Baba Levo, AG kidedea, mahakama yakataa nyaraka kukaguliwa

Kigoma. Mahakama Kuu Kigoma, imekataa maombi ya kukagua na kujiridhisha kuhusu nyaraka mbalimbali za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 katika jimbo la Kigoma Mjini. Nyaraka hizo ni pamoja na kujiridhisha juu ya uwepo wa nakala halisi ya daftari la wapiga kura lililotumiwa katika kila kituo cha uchaguzi kuidhinisha mpigakura, fomu za matokeo kwa kila…

Read More